Rais Samia: Tanzania itaisaidia Somalia kuimarisha ulinzi Hii ni ziara ya kwanza ya Rais wa Somalia nchini tangu ashike madaraka. Jana Ijumaa Aprili 26, 2024 alihudhuria maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, sherehe...
ACT-Wazalendo kuunguruma K’njaro, Mwigamba akumbushia mapito ya kukisajili Mkutano wa kidemokrasia ambao upo kikatiba katika chama hicho utakuwa wa sita tangu kuanzishwa kwa ACT-Wazalendo mwaka 2014. Kwa sasa ACT-Wazalendo imefikisha miaka 10 na mkutano huo utakuwa...
Rais Samia asisitiza kutekeleza 4R katika Muungano Sherehe za maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zimefanyika katika Uwanja wa Uhuru wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam
PRIME Vigogo 13 Chadema kikaangoni uchaguzi wa kanda Uchaguzi huo utakwenda sambamba na kuwapata makamu wenyeviti wa kanda hizo, wahazini, wenyeviti wa mabaraza ya Chadema katika ngazi ya mikoa yakiwamo ya Bazecha, Bawacha na Bavicha
Dk Nchimbi apokea kero Nyasa Wakazi wa Nyasa wamemuomba Dk Nchimbi kuwasaidia ujenzi wa barabara kutoka Lituhi hadi Mbambay Bay na kituo cha afya wakisema Kata ya Mbaha kuna zanahati mbili pekee
Dk Nchimbi aibeba falsafa ya maridhiano ya Rais Samia Asisitiza umuhimu wa kuepuka uchochezi na kusisitiza umoja wa kitaifa.
Dk Nchimbi awaonya wanaCCM udalali kwa wasaka uongozi Dk Nchimbi amewataka WanaCCM kujenga umoja ndani ya chama hicho kwa nguvu zao zote na kueleza mambo mazuri yanayotekelezwa na Serikali.
Dk Nchimbi atoa agizo Wizara ya Kilimo Wananchi wa Mbarali wamemuomba Dk Nchimbi kuingilia kati suala la migogoro ya ardhi na mipaka inayosababisha kutofanya shughuli zao kwa ufanisi hasa za kilimo cha mpunga
Dk Nchimbi ampiga tafu Tulia Mbeya Mjini Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewaambia Wana-CCM mkoani Mbeya wanatakia kulinda heshima ya Taifa wa kuhakikisha wanamshikilia mbunge wa Mbeya Mjini, Dk Tulia...
Dk Nchimbi awafuta machozi waathirika wa maporomoko ya tope kwa Sh10 milioni Dk Nchimbi amesema lengo la kufika hapo ni kuwapa pole na kuwaomba waendelea kumtanguliza na kumshukuru Mungu kwa kuwanusuru na maporomoko hayo.